Jeremiah 31:29-30

29 a“Katika siku hizo, watu hawatasema tena,

“ ‘Baba wamekula zabibu chachu,
nayo meno ya watoto yakatiwa ganzi.’
30 bBadala yake, kila mmoja atakufa kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe; yeyote alaye zabibu chachu, meno yake mwenyewe yatatiwa ganzi.

Copyright information for SwhNEN